Skip to content
  • About Us
  • Disclaimer
  • Telegram Group
Biashara ya Forex

Biashara ya Forex

Forex Trading in Tanzania and Kenya

  • Home
  • Brokers
  • Vitabu vya Forex
  • Help
  • Toggle search form

Jinsi ya kupata dola 30 za kianzio kutoka TickMill Forex Broker

Posted on September 11, 2019May 26, 2022 By Admin No Comments on Jinsi ya kupata dola 30 za kianzio kutoka TickMill Forex Broker

Forex imeendelea kuwa biashara yenye mzunguko mkubwa wa fedha kuliko biashara nyingine zozote duniani.

TickMill 30 USD bonus account

Kwa bahati nzuri biashara hii haina mipaka baina ya nchi na nchi na mtu yoyote anaweza kujifunza na kuanza biashara ya Forex na kuweza kutimiza ndoto zake kwa kuishi maisha yenye uhuru wa kiuchumi.

Ingawa ukweli ni kwamba, Forex sio biashara rahisi especially kwa nyakati za mwanzo ambapo ni rahisi kupoteza mtaji wako iwapo utaingia sokoni bila kufuata misingi inayopaswa ya kuzuia hasara, lakini utakuja kugundua kwamba, kadiri unavyozidi kujifunza na kukaa sokoni, ndipo unapozidi kupata uzoefu na kuzifahamu indicators mbali mbali za kiuchumi zinazokuwezesha kufanya maamuzi ya aidha ku-BUY au ku-SELL.

Ni kwa kufahamu jambo hili, ndio maana yupo Forex Broker bora kabisa anayefahamika kwa jina la TICKMILL ambaye atakuwezesha kupata dola 30 za kianzio ambazo unaweza ukazi trade, na iwapo utatimiza vigezo na masharti, basi utaweza kuzi withdraw, na uzuri ni kwamba broker huyu, anakuwezesha ku deposit na ku withdraw moja kwa moja kwa kutumia simu yako ya mkononi kwa mtandao wa Vodacom M-Pesa.

Kupata dola 30 kutoka TickMill, bofya kiungo kifuatacho ambacho utapewa maelekezo ya kufungua account yenye dola 30.

Ukiachilia account ya dola 30, pia waweza tengeneza account yako ya kudumu kwa broker huyu kwa kubofya kiungo kifuatacho:

Endelea kufuatilia post zingine ili uzidi kupata elimu jinsi ya kufanya vyema kwenye ulimwengu huu wa biashara ya Forex. 

Related Articles

Free 30 USD, M-Pesa, TickMill

Post navigation

Previous Post: Jinsi ya kuanza biashara ya Forex bila mtaji
Next Post: Jinsi ya kuweka na kufunga order ya Forex kwa kutumia MT4

Leave a ReplyCancel reply

ZINAZOSOMWA ZAIDI

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJanuary 7, 2020Admin
Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simuBroker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simuNovember 29, 2021Admin
Maswali na Majibu kuhusu Biashara ya Forex - HelpMay 23, 2022Admin

MAKALA MPYA

  • Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simu
  • Jinsi ya kuchagua broker mzuri wa Forex
  • Jinsi ya ku trade Volatility Index kwa kutumia Binary
  • Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
  • Jinsi ya kudeposit Templerfx kwa kutumia Safaricom M-Pesa
Copyright © 2022 - All Rights Reserved