Skip to content
  • About Us
  • Disclaimer
  • Telegram Group
Biashara ya Forex

Biashara ya Forex

Forex Trading in Tanzania and Kenya

  • Home
  • Brokers
  • Vitabu vya Forex
  • Help
  • Toggle search form

Jinsi ya kucheza forex

Posted on June 5, 2019April 20, 2024 By Admin No Comments on Jinsi ya kucheza forex

Bila shaka umefika kwenye post hii baada ya ku search neno jinsi ya kucheza forex lakini inakupasa kufahamu kwamba Forex sio mchezo wa kubahatisha kama ilivyo michezo mingine ya kubahatisha au Ku-bet kama Sportpesa, Biko n.k

Forex ni biashara inayohitaji ueledi wa hali ya juu katika kutathmini uelekeo wa masoko  ya fedha za kigeni.

Forex inahitaji uwe na uelewa mpana, pamoja na mbinu za kuweza kulielewa soko la fedha ikiwa ni pamoja na kufanya mahesabu mbali mbali yatakayokupa uwezo wa kufahamu ni wakati gani wa kuingia sokoni na ni wakati gani wa kutoka sokoni.

Sasa basi, kama umeshafahamu kwamba Forex sio mchezo wa kuchezwa kama BIKO n.k, ni wakati wako sasa kufahamu ni jinsi gani ya kuweza kujiunga na biashara hii ya Forex. Kupata maelekezo yaliyojitosheleza juu ya namna ya kujiunga na biashara ya forex, bofya link ifuatayo:

Jinsi ya kujiunga na biashara ya Forex

Ukishapitia na kuisoma kwa kuelewa post hiyo, utaweza kufahamu sasa kwamba kumbe cha kwanza kabisa ni kuwa na broker atakayekuwezesha ku trade Forex, ambaye kwa sisi tuliowengi hapa Afrika Mashariki, tunapenda kumtumia broker aitwaye TemplerFx, ambaye kwa bahati nzuri, atakuwezesha kuweka na kutoa pesa zako kwa njia ya M-Pesa.

Kufungua account ya Forex bofya kitufe kifuatacho:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Ambapo utaweza kusoma maelekezo utakayopatiwa ikiwa ni pamoja na ku verify email yako, namba yako ya simu, na taarifa zako za msingi.

Related Articles

Brokers, Demo Account, Real Account

Post navigation

Previous Post: Jinsi ya kutoa pesa Skrill kwenda M-Pesa Tanzania
Next Post: Mbinu kuzuia hasara kwenye biashara ya Forex

Leave a ReplyCancel reply

ZINAZOSOMWA ZAIDI

Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simuBroker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simuNovember 29, 2021Admin
Maswali na Majibu kuhusu Biashara ya Forex - HelpMay 23, 2022Admin
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJanuary 7, 2020Admin

MAKALA MPYA

  • Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simu
  • Jinsi ya kuchagua broker mzuri wa Forex
  • Jinsi ya ku trade Volatility Index kwa kutumia Binary
  • Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
  • Jinsi ya kudeposit Templerfx kwa kutumia Safaricom M-Pesa
Copyright © 2022 - All Rights Reserved