Skip to content
  • About Us
  • Disclaimer
  • Telegram Group
Biashara ya Forex

Biashara ya Forex

Forex Trading in Tanzania and Kenya

  • Home
  • Brokers
  • Vitabu vya Forex
  • Help
  • Toggle search form

Jinsi ya kufungua account Forex

Posted on February 14, 2019May 17, 2022 By Admin No Comments on Jinsi ya kufungua account Forex

Jinsi ya kufungua account Forex

Baada ya kujifunza jinsi ya kujiunga na Forex, na kufahamu kwamba unapaswa kuanza biashara ya Forex kwa kufanya majaribio kwa kutumia account ya DEMO, sasa ni wakati muafaka wa kujua jinsi ya kujiunga na biashara hii kubwa duniani.

Jinsi ya kufungua account Forex
Jinsi ya kufungua account Forex

Kama hukusoma kuhusu jinsi ya kufungua na kutumia demo account ya forex, soma post hii:

Jinsi ya kufungua na kutumia DEMO account kwenye Forex

Kifuatacho sasa ni kufahamu jinsi ya kufungua account ya FOREX, kama nilivyokwisha kuwafahamisha hapo awali kwamba jambo la msingi ni kuchagua broker ambaye utakua unamtumia katika biashara ya forex, na kwa kuwa tunafahamu kwamba broker ambaye atakuwezesha kutuma na kupokea pesa kwa East Africa kwa urahisi zaidi kwa sasa ni TemplerFx ambaye anakuwezesha kutuma na kupokea pesa kwa huduma ya M Pesa ya Vodacom.

Kufungua account ya TemplerFX bofya kiungo kifuatacho ambacho kitakupeleka kwenye fomu maalum ambayo utapaswa kuijaza.

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Mara baada ya kutengeneza account, utapaswa kuithibitisha account yako ambapo utaombwa u upload copy ya kitambulisho chako kinachoweza kuthibitisha taarifa kuhusu wewe.

Related Articles

Forex, Real Account

Post navigation

Previous Post: Jinsi ya kujiunga na Forex
Next Post: Jinsi ya kufungua na kutumia DEMO account kwenye Forex

Leave a ReplyCancel reply

ZINAZOSOMWA ZAIDI

Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simuBroker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simuNovember 29, 2021Admin
Maswali na Majibu kuhusu Biashara ya Forex - HelpMay 23, 2022Admin
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJanuary 7, 2020Admin

MAKALA MPYA

  • Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simu
  • Jinsi ya kuchagua broker mzuri wa Forex
  • Jinsi ya ku trade Volatility Index kwa kutumia Binary
  • Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
  • Jinsi ya kudeposit Templerfx kwa kutumia Safaricom M-Pesa
Copyright © 2022 - All Rights Reserved