Skip to content
Biashara ya Forex

BIASHARA YA FOREX

Forex Trading in Tanzania and Kenya

  • Home
  • Brokers
  • Mobile App
  • Vitabu vya Forex
  • Help
  • Contact Us
  • Toggle search form

Category: Forex

Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua supply and demand zones

Posted on July 16, 2019May 26, 2022 By Admin No Comments on Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua supply and demand zones
Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua supply and demand zones

Supply na demand hizi ni kanda au zone ambazo zinapatikana katika chart ya forex, hizi zone huwa ndio zinazozingatiwa sana na matrader wote wa aina tatu, ambao ni seller buyer na institutions, ambao seller na buyer kwa neno moja tunawaita retailer yani wafanya biashara wadogo wadogo na hao walio kwenye taasisi mbali mbali ambazo zinajihusisha…

Read More “Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua supply and demand zones” »

Education, Forex, Forex kwa kiswahili, Jifunze Forex, Technical Analysis

Namna ya kufanya biashara ya Forex

Posted on June 21, 2019May 17, 2022 By Admin No Comments on Namna ya kufanya biashara ya Forex
Namna ya kufanya biashara ya Forex

Karibu katika site yetu hii ambapo kama kawaida tunaendelea na mfululizo wa masomo mbali mbali kuhusu namna bora ya kufanya biashara ya Forex kwa faida. Tukumbuke kwamba biashara ya Forex ndio biashara kubwa kuliko zote duniani ambayo ina mzunguko wa zaidi ya trillion 5 za kimarekani kwa siku. Iwapo utafanya maamuzi sahihi, na kuamua kujifunza…

Read More “Namna ya kufanya biashara ya Forex” »

Beginner, Demo, Forex, Meta Trader 4

Mbinu kuzuia hasara kwenye biashara ya Forex

Posted on June 11, 2019May 17, 2022 By Admin No Comments on Mbinu kuzuia hasara kwenye biashara ya Forex
Mbinu kuzuia hasara kwenye biashara ya Forex

Iwapo ndio kwanza umeanza biashara ya Forex, au tayari ni trader mzoefu wa Forex, jambo la msingi kabisa ambalo unapaswa kuzingatia muda wote unapofanya biashara hii ni namna ya kuhakikisha kwamba pesa yako inabaki salama kwa kuzingatia mbinu mbali mbali zenye lengo la kuhakikisha unaepukana na uwezekano wa kuunguza account yako au kufunga positions zako…

Read More “Mbinu kuzuia hasara kwenye biashara ya Forex” »

Beginner, Forex, Risk Management

Jinsi ya kufungua account Forex

Posted on February 14, 2019May 17, 2022 By Admin No Comments on Jinsi ya kufungua account Forex
Jinsi ya kufungua account Forex

Jinsi ya kufungua account Forex Baada ya kujifunza jinsi ya kujiunga na Forex, na kufahamu kwamba unapaswa kuanza biashara ya Forex kwa kufanya majaribio kwa kutumia account ya DEMO, sasa ni wakati muafaka wa kujua jinsi ya kujiunga na biashara hii kubwa duniani. Jinsi ya kufungua account Forex Kama hukusoma kuhusu jinsi ya kufungua na…

Read More “Jinsi ya kufungua account Forex” »

Forex, Real Account

Jinsi ya kujiunga na Forex

Posted on February 14, 2019 By Admin No Comments on Jinsi ya kujiunga na Forex

Jinsi ya kujiunga na Forex Baada ya kujifunza kuhusu utangulizi wa biashara ya Forex, sasa ni wakati muafaka wa kujifunza jinsi ya kujiunga na biashara hii ya Forex. Iwapo tayari umekwisha pitia maelezo ya awali, ni wakati sasa wa kutengeneza account yako ya Forex. Waweza tengeneza account kupitia Broker maarufu zaidi East Africa na Duniani…

Read More “Jinsi ya kujiunga na Forex” »

Demo Account, Forex

Jinsi ya kutumia M-Pesa kuweka na kutoa fedha katika Forex

Posted on February 13, 2019 By Admin No Comments on Jinsi ya kutumia M-Pesa kuweka na kutoa fedha katika Forex

NOTE: Huduma ya ku deposit na ku withdraw kwa kutumia M-Pesa Tanzania kupitia Broker TemplerFx kwa sasa imesitishwa hadi hapo iPay na Vodacom watakapokamilisha taratibu zilizowekwa na BOT. Huduma hii inaendelea kupatikana kupitia Safaricom M-Pesa Kenya ambapo waweza ku deposit au ku withdraw kwa kuchagua M-Pesa Kenya. Kama bado huna account ya Forex kupitia TemplerFx,…

Read More “Jinsi ya kutumia M-Pesa kuweka na kutoa fedha katika Forex” »

Forex, M-Pesa, TemplerFx

Mtaji wa kuanzia Forex

Posted on February 13, 2019 By Admin No Comments on Mtaji wa kuanzia Forex

Je unahitaji mtaji kiasi gani wa kuanzia biashara ya FOREX? Kama tulivyoona katika mada ya utangulizi kuhusu biashara ya Forex, kwamba Forex ndio biashara kubwa zaidi duniani ambayo ina mzunguko wa dola za kimarekani trilioni 5 kwa siku. Iwapo na wewe ungependa kuwa sehemu ya mzunguko huu wa pesa, huna budi kujifunza vizuri misingi yote…

Read More “Mtaji wa kuanzia Forex” »

Brokers, Capital, Forex

Jinsi ya kufanya biashara ya FOREX

Posted on January 31, 2019 By Admin No Comments on Jinsi ya kufanya biashara ya FOREX

Post iliyopita ilikuwa na utangulizi muhimu kuhusu FOREX, kama hujaisoma, waweza bofya kiungo kifuatacho kuisoma:Forex ni nini? Kama tayari una uelewa wa awali wa biashara hii, bofya kiungo kifuatacho ili ujisajiri na broker anayekubalika zaidi East Africa! BOFYA HAPA KUJIUNGA Sasa twende Sokoni. Twende kwa Hatua pia: 1. Forex inafanyika kwa kulinganisha thamani za Sarafu…

Read More “Jinsi ya kufanya biashara ya FOREX” »

Forex

Forex ni nini?

Posted on January 31, 2019 By Admin No Comments on Forex ni nini?

FOREX ni biashara ya ubadilishaji wa fedha za kigeni ambayo imeonekana kuwa na mzunguko mkubwa zaidi kuliko biashara yoyote dunianini kwani inazungusha zaidi ya dolla za kimarekani trillion 5 kwa siku. Mtu yoyote anaweza kujifunza biashara ya forex, na kuwa Forex trader mwenye mafanikio. Ili kuwa Forex trader, ni lazima uwe na account ya Forex…

Read More “Forex ni nini?” »

Forex, Forex ni nini, Jifunze Forex

Archives

  • November 2021
  • April 2020
  • February 2020
  • January 2020
  • October 2019
  • September 2019
  • July 2019
  • June 2019
  • May 2019
  • February 2019
  • January 2019

Categories

  • AirTel Money
  • Beginner
  • Best Forex Brokers in Kenya
  • Best Forex Brokers in Tanzania
  • Biashara ya Forex
  • Binary Options
  • Bonus
  • Brokers
  • Capital
  • Demo
  • Demo Account
  • Deposit
  • Education
  • Exness
  • Exness Tanzania
  • Forex
  • Forex kwa kiswahili
  • Forex ni nini
  • Forex Regulators
  • Free 30 USD
  • Jifunze Forex
  • Kenya
  • M-Pesa
  • M-Pesa Kenya
  • Mastercard
  • Meta Trader 4
  • Meta Trader 5
  • No Deposit Bonus
  • Real Account
  • Regulated Brokers
  • Risk Management
  • Safaricom
  • Safaricom M-Pesa
  • Skrill
  • Skrill Tanzania
  • Support and Resistance
  • Tanzania
  • Technical Analysis
  • TemplerFx
  • TickMill
  • TigoPesa
  • Verification
  • Visa
  • Vodacom M-Pesa
  • Volatility Index

Recent Posts

  • Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa kupitia mitandao ya simu kama Mpesa na tigopesa
  • Jinsi ya kuchagua broker mzuri wa Forex
  • Jinsi ya ku trade Volatility Index kwa kutumia Binary
  • Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
  • Jinsi ya kudeposit Templerfx kwa kutumia Safaricom M-Pesa

Recent Comments

No comments to show.
Copyright © 2022 - All Rights Reserved