Jinsi ya kutumia M-Pesa kuweka na kutoa fedha katika Forex

Share this post on:

NOTE:

Huduma ya ku deposit na ku withdraw kwa kutumia M-Pesa Tanzania kupitia Broker TemplerFx kwa sasa imesitishwa hadi hapo iPay na Vodacom watakapokamilisha taratibu zilizowekwa na BOT.
Huduma hii inaendelea kupatikana kupitia Safaricom M-Pesa Kenya ambapo waweza ku deposit au ku withdraw kwa kuchagua M-Pesa Kenya.
Kama bado huna account ya Forex kupitia TemplerFx, bofya kitufe kifuatacho kujiunga:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Moja kati ya changamoto nyingi zinazoikumba biashara ya Forex hususani kwa nchi zinazoendelea ni namna bora ya kuweka na kutoa pesa kwenye account yako ya Forex.

Templer fx M Pesa
Templer Fx M Pesa

Jambo hili kwa kawaida huwa linasimamiwa na broker uliyeamua kumtumia. Brokers walio wengi wanakuwezesha kuweka pesa kwenye account yako kwa kupitia njia ya Bank kupitia credit cards kwa mfano Visa au Mastercard.

Jambo zuri kwa forex Traders wa East Africa ni kwamba yupo broker ambaye anakuwezesha kuweka na kutoa pesa kwa kutumia Vodacom M-Pesa papo kwa papo. Broker huyu si mwingine bali ni TemplerFx ambaye anatumia huduma ya iPay Africa kukuwezesha kuweka na kutoa pesa kwenye account yako ya M Pesa muda wowote. Sasa tukaangalie ni kwa jinsi gani unaweza kutumia huduma hii.

Bofya kitufe kifuatacha kujiunga na Templer Forex kutumia huduma ya M-Pesa kuweka na kutoa pesa kwenye Forex:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Jinsi ya kuweka na kutoa pesa Templer Fx kwa M Pesa:

Ikiwa umeshajiunga na tayari una account ya templerfx ambayo ni verified. Fuata mtiririko ufuatao:

  1. Kwa kutumia computer yako, Login kwenye account yako ya TemplerFx
  2. Kwenye menu ya upande wa kushoto, bofya palipoandikwa Finance
  3. Chini yake utaona Deposits, bofya link hiyo.
  4. Kwenye ukurasa utakaofunguka, chagua account unayotaka ku-deposit, na iwapo bado hujatengeneza account, utaambiwa utengeneze account.
  5. Ukishachagua account, bofya sehemu iliyoandikwa Select a payment System
  6. Chagua palipoandikwa IPay Africa
  7. Baada ya hapo utachagua Method of payment
  8. Hapo sasa utachagua M-Pesa Tanzania, iwapo upo Tanzania au M-Pesa Kenya iwapo upo Kenya

Baada ya hapo, fuata maelekezo yafuata jinsi ya kulipa pesa, na muda huo huo ukishalipa utaona balance yako kwenye account yako ya TemplerFx

Share this post on:

Leave a Reply