Skip to content
  • About Us
  • Disclaimer
  • Telegram Group
Biashara ya Forex

Biashara ya Forex

Forex Trading in Tanzania and Kenya

  • Home
  • Brokers
  • Vitabu vya Forex
  • Help
  • Toggle search form

Jinsi ya kufungua na kutumia DEMO account kwenye Forex

Posted on February 14, 2019May 17, 2022 By Admin No Comments on Jinsi ya kufungua na kutumia DEMO account kwenye Forex

Jinsi ya kufungua na kutumia DEMO account kwenye Forex

Kama tulivyokwisha ona umuhimu wa kuwa na ujuzi wa kutosha kabla hujaanza rasmi ku trade Forex kwa kutumia real account, ni muhimu kuanza na practice account ambayo itakuwezesha kufahamu trend ya soko, na taratibu mbali mbali za ku trade Forex.

Jinsi ya kufungua demo account

Forex Demo Account ni nini?

Forex demo account ni aina ya account maalum ya Forex ambayo inatolewa na wawezeshaji (trading platform au broker wako) ambayo imewekewa kiasi cha pesa ambazo sio halisi kwa ajili ya wewe kujifunza namna ya kufanya biashara ya Forex.

Tofauti ya Demo account na Real account ni kwamba Demo account imewekewa kiasi cha pesa ambacho ni fake, wakati account halisi au real account ni account ambayo umeiwekea pesa halali.

Njia rahisi kabisa ya kufungua account ya demo, ni ku download program ya Meta Trader 4 kwenye simu yako au kwenye computer yako, na baada ya ku install programu hiyo, automatically itakutengenezea account ya demo ambayo waweza itumia kufanya trading za majaribio wakati ukiendelea kujifunza. Iwapo ungepende kufungua LIVE account, basi bofya kitufe kifuatacho:
BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT
Ambapo utaweza kufungua REAL account kwa broker TemplerFx

Related Articles

Demo Account, Meta Trader 4

Post navigation

Previous Post: Jinsi ya kufungua account Forex
Next Post: Jinsi ya kufungua account Skrill

Leave a ReplyCancel reply

ZINAZOSOMWA ZAIDI

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJanuary 7, 2020Admin
Maswali na Majibu kuhusu Biashara ya Forex - HelpMay 23, 2022Admin
BrokersMay 23, 2022Admin

MAKALA MPYA

  • Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simu
  • Jinsi ya kuchagua broker mzuri wa Forex
  • Jinsi ya ku trade Volatility Index kwa kutumia Binary
  • Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
  • Jinsi ya kudeposit Templerfx kwa kutumia Safaricom M-Pesa
Copyright © 2022 - All Rights Reserved