Skip to content
  • About Us
  • Disclaimer
  • Telegram Group
Biashara ya Forex

Biashara ya Forex

Forex Trading in Tanzania and Kenya

  • Home
  • Brokers
  • Vitabu vya Forex
  • Help
  • Toggle search form

Mtaji wa kuanzia Forex

Posted on February 13, 2019 By Admin No Comments on Mtaji wa kuanzia Forex

Je unahitaji mtaji kiasi gani wa kuanzia biashara ya FOREX?

Mtaji wa kuanzia Forex

Kama tulivyoona katika mada ya utangulizi kuhusu biashara ya Forex, kwamba Forex ndio biashara kubwa zaidi duniani ambayo ina mzunguko wa dola za kimarekani trilioni 5 kwa siku. Iwapo na wewe ungependa kuwa sehemu ya mzunguko huu wa pesa, huna budi kujifunza vizuri misingi yote ya biashara hii yenye ushindani mkubwa, ili kuepuka kupata hasara.

Kiwango cha awali cha kuanzia biashara ya FOREX kinategemea na dalali wako wa forex (Forex broker), wapo baadhi ya Forex brokers ambao unaweza ukaanza na kiwango kidogo kidogo cha dola 10 na wengine hata dola 1.

Tena baadhi ya brokers hawa, watakupatia pesa ya ziada ya kulinda account yako kama mkopo (Credit) kwa mfano broker maarufu ajulikanae kwa jina la XM.COM yeye anakuwezesha kuanza na mtaji mdogo wa dola 5 na kukupatia mkopo wa dola 30 iwapo utafungua MT4 account aina ya STANDARD.

Broker mwingine ambaye amekua akitumiwa na watanzania wengi ni TEMPLERFX ambaye anakuwezesha kuanza na kiwango kidogo zaidi cha dola 1 (naam, dola moja tu) ambacho unaweza kuki deposit kwa kutumia account yako ya M-Pesa.

Historia inaonesha kwamba, ni wafanyabiashara wachache sana wa FOREX ambao wana uwezo wa kuanza na kiwango kidogo cha pesa na kuweza kukipandisha hadi kufikia kiwango kikubwa kwani unapokua na balance ndogo, ndivyo ambavyo ni rahisi kwa account yako kuisha pale soko linapo panda na kushuka.

Iwapo ungependa kujiunga na broker anayekuwezesha kuanza na kiwango kidogo cha dola 5 ambacho waweza kukiweka kwa kutumia M-Pesa Mastercard au Skrill, bofya kiungo kifuatacho.

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Na iwapo hujafahamu jinsi ya kuweka na kutoa pesa za forex kwa kutumia Vodacom M-Pesa, bofya link ifuatayo ambayo nimekuandalia maelezo mengi juu ya namna ya kutumia M-Pesa kuweka na kutoa pesa ya Forex.

Jinsi ya kutumia M-Pesa kuweka na kutoa fedha katika Forex

Related Articles

Brokers, Capital, Forex

Post navigation

Previous Post: Jinsi ya kufanya biashara ya FOREX
Next Post: Jinsi ya kutumia M-Pesa kuweka na kutoa fedha katika Forex

Leave a ReplyCancel reply

ZINAZOSOMWA ZAIDI

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJanuary 7, 2020Admin
Telegram GroupMay 24, 2022Admin
Maswali na Majibu kuhusu Biashara ya Forex - HelpMay 23, 2022Admin

MAKALA MPYA

  • Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simu
  • Jinsi ya kuchagua broker mzuri wa Forex
  • Jinsi ya ku trade Volatility Index kwa kutumia Binary
  • Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
  • Jinsi ya kudeposit Templerfx kwa kutumia Safaricom M-Pesa
Copyright © 2022 - All Rights Reserved