Skip to content
  • About Us
  • Disclaimer
  • Telegram Group
Biashara ya Forex

Biashara ya Forex

Forex Trading in Tanzania and Kenya

  • Home
  • Brokers
  • Vitabu vya Forex
  • Help
  • Toggle search form

Jinsi ya kujiunga na Forex

Posted on February 14, 2019 By Admin No Comments on Jinsi ya kujiunga na Forex

Jinsi ya kujiunga na Forex

Baada ya kujifunza kuhusu utangulizi wa biashara ya Forex, sasa ni wakati muafaka wa kujifunza jinsi ya kujiunga na biashara hii ya Forex.

Iwapo tayari umekwisha pitia maelezo ya awali, ni wakati sasa wa kutengeneza account yako ya Forex. Waweza tengeneza account kupitia Broker maarufu zaidi East Africa na Duniani mwenye wateja zaidi ya milion 2.5 katika nchi 190 duniani.

Bofya kitufe kifuatacho kufungua account yako ya Forex bure kabisa:

FUNGUA ACCOUNT

Jambo ambalo ni muhimu zaidi kuhusu biashara ya Forex, ni kufahamu misingi yote ya biashara hii, na kuhakikisha kwamba unafahamu hatua zote muhimu za kuchukua ili kuzuia hasara (Risk Management Strategies)

Jinsi ya kujiunga na forex

Mbinu za kuzuia hasara katika biashara ya Forex unaweza kuzisoma kwenye post ifuatayo

Mbinu kuzuia hasara kwenye biashara ya forex (Risk Management Strategies)

Baada ya kuwa na uelewa mpana wa jinsi biashara ya Forex inavyofanya kazi, na kufahamu mbinu za kuzuia hatari ya account yako ya forex kuungua, sasa unaweza kujiunga na Forex.

Kama ndio unajiunga kwa mara ya kwanza, unashauriwa kuanza kwa kutengeneza account ya majaribio au DEMO ACCOUNT, account hii itakuwezesha kujaribu uwezo wako wa kufanya biashara hii ya forex, kutengeneza account ya majaribio ni rahisi zaidi, kwani unachopaswa kufanya ni ku install app ya Meta Trader 4 kwenye simu yako, account hiyo itakuwezesha kuunganishwa na Forex DEMO bure kabisa bila kupaswa kulipia kitu chochote.

Post ifuatayo nimeandika kwa kirefu kuhusu DEMO account kwenye forex

Jinsi ya kufungua na kutumia DEMO account kwenye Forex

Kujiunga na Forex demo, fungua simu yako, kama ni ya android nenda kwenye Play Store, na kama ni iPhone nenda kwenye App Store, halafu andika neno Meta Trader 4 Hapo itafunguka app hii ya Meta Trader 4 ambapo ukisha i install, moja kwa moja itakufungulia demo account ambayo waweza kuitumia kwa majaribio.

Ukishaweza kutumia demo account vizuri, sasa waweza hamia kwenye REAL ACCOUNT kujiunga na real account waweza mtumia broker wetu ambaye tunamtumia zaidi East Africa anayeitwa XM kwa ku bofya kiungo kifuatacho.

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Endelea kuwa pamoja nami katika safari hii ya mafanikio kupitia biashara ya Forex

Related Articles

Demo Account, Forex

Post navigation

Previous Post: Jinsi ya kuweka hela Forex
Next Post: Jinsi ya kufungua account Forex

Leave a ReplyCancel reply

ZINAZOSOMWA ZAIDI

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJanuary 7, 2020Admin
Maswali na Majibu kuhusu Biashara ya Forex - HelpMay 23, 2022Admin
BrokersMay 23, 2022Admin

MAKALA MPYA

  • Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simu
  • Jinsi ya kuchagua broker mzuri wa Forex
  • Jinsi ya ku trade Volatility Index kwa kutumia Binary
  • Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
  • Jinsi ya kudeposit Templerfx kwa kutumia Safaricom M-Pesa
Copyright © 2022 - All Rights Reserved