Skip to content
  • About Us
  • Disclaimer
  • Telegram Group
Biashara ya Forex

Biashara ya Forex

Forex Trading in Tanzania and Kenya

  • Home
  • Brokers
  • Vitabu vya Forex
  • Help
  • Toggle search form

Jinsi ya kuweka hela Forex

Posted on February 13, 2019 By Admin No Comments on Jinsi ya kuweka hela Forex

Baada ya kufahamu jinsi ya kutumia M Pesa kuweka hela kwenye account yako ya Forex chini ya broker maarufu East Africa anayefahamika kwa jina la TemplerFX sasa ni wakati wa kujifunza hatua kwa hatua ni namna gani unaweza ukaweka hela kwenye account yako ya Forex.

Jinsi ya kuweka hela Forex
Jinsi ya kuweka hela Forex

Zipo namna nyingi za kuweka hela kwenye account ya Forex kutegemea na broker unayemtumia, wengine wanatumia M-Pesa, PayPal, Visa card au Mastercard, Skrill na baadhi ya njia nyingine za kutuma na kupokea pesa kwa kupitia mtandao.

Kwa kuwa Watanzania walio wengi ni watumiaji wa huduma za fedha kupitia mitandao ya simu, basi tutaenda kujifunza kuweka pesa kwa kutumia M-Pesa.

Kama umeamua kuwa serious na biashara ya Forex, basi ni vyema ukawa na bank account maalum ambayo utaitumia kuweka na kutoa fedha kwa kupitia Visa au Mastercard, njia hizi utaziona pindi unapo bofya kwenye link ya DEPOSIT katika members area ya account yako ya forex.

Na iwapo unalazimika kutumia M-Pesa, basi huna budi kujiunga na broker aitwaye TEMPLERFX kwa kubofya hapa chini:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT
Maelekezo yote ya namna ya kutumia mtandao wa M-Pesa kupitia huduma ya Ipay Africa nimeyaweka kwenye article ifuatayo, bofya link then utaona ni jinsi gani unaweza kuweka hela kwenye account yako ya Forex kwa kutumia M Pesa.

Jinsi ya kuweka hela Forex kwa kupitia M Pesa

Nimatumaini kwamba makala hii imeweza kukuelekeza vizuri namna ambayo waweza itumia kuweka hela kwenye Forex

Na iwapo ungependa kuweka pesa kwa kutumia huduma ya Skrill, bofya link ifuatayo kufungua account Skrill

FUNGUA SKRILL ACCOUNT

Related Articles

Deposit, M-Pesa, Mastercard, Safaricom, Skrill Tanzania, TemplerFx, Visa

Post navigation

Previous Post: Jinsi ya kutumia M-Pesa kuweka na kutoa fedha katika Forex
Next Post: Jinsi ya kujiunga na Forex

Leave a ReplyCancel reply

ZINAZOSOMWA ZAIDI

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJanuary 7, 2020Admin
Jinsi ya kuchagua broker mzuri wa ForexJinsi ya kuchagua broker mzuri wa ForexApril 6, 2020Admin
Vitabu vya ForexMay 23, 2022Admin

MAKALA MPYA

  • Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simu
  • Jinsi ya kuchagua broker mzuri wa Forex
  • Jinsi ya ku trade Volatility Index kwa kutumia Binary
  • Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
  • Jinsi ya kudeposit Templerfx kwa kutumia Safaricom M-Pesa
Copyright © 2022 - All Rights Reserved