Skip to content
  • About Us
  • Disclaimer
  • Telegram Group
Biashara ya Forex

Biashara ya Forex

Forex Trading in Tanzania and Kenya

  • Home
  • Brokers
  • Vitabu vya Forex
  • Help
  • Toggle search form

Namna ya kufanya biashara ya Forex

Posted on June 21, 2019April 20, 2024 By Admin No Comments on Namna ya kufanya biashara ya Forex

Karibu katika site yetu hii ambapo kama kawaida tunaendelea na mfululizo wa masomo mbali mbali kuhusu namna bora ya kufanya biashara ya Forex kwa faida.

Tukumbuke kwamba biashara ya Forex ndio biashara kubwa kuliko zote duniani ambayo ina mzunguko wa zaidi ya trillion 5 za kimarekani kwa siku.

Jinsi ya kuanza Biashara ya Forex
Jinsi ya kuanza Biashara ya Forex

Iwapo utafanya maamuzi sahihi, na kuamua kujifunza vyema biashara hii, basi nawe utakua miongoni mwa watu wanaonufaika vyema na biashara hii duniani kote.

Jambo la msingi kufahamu ni kwamba, Forex ni biashara ya kubadilisha Fedha za kigeni, biashara hii hufanyika kwa njia mbali mbali, lakini pale unapotaka kuifanya kwa faida, basi utaifanya mtandaoni kwa kufungua account kwa taasisi zinazokuwezesha ku nunua na kuuza pair mbali mbali za Forex katika masoko makuu ya Forex duniani.

Masoko haya yanayokuwezesha kuuza na kununua, yameunganishwa kwa mtandao maalum unaojulikana kama ECN yaani Electronic Communication Network.

Iwapo ungependa kuanza biashara hii ya Forex, basi itakulazimu kuanza kwa kufungua account kwa broker atakayekuwezesha kununua na kuuza pamoja na kukuwezesha ku withdraw faida utakayokua umeipata baada ya kujiunga na Forex.

Yupo broker ambaye tunamtumia kwa Africa Mashariki, ambaye bahati nzuri naye anakupatia dola 30 za bure za kuanza kufanya biashara hii, na pindi utakapofanikiwa kufikisha vigezo vyao, utaweza ku withdraw hadi dola 100 bure kabisa.

Kujiunga na biashara hii ya Forex kupitia broker wa TemplerFX, bonyeza kitufe kifuatacho kutengeneza account, kisha kwenye fomu itakayofunguliwa, fuata maelekezo yote ikiwa ni pamoja na kujaza taarifa zako, na baadae utapaswa ku upload copy za kitambulisho wako ili kuthibitisha au ku verify identity yako.

Bofya kitufe kifuatacha kujiunga na Forex:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Ukishamaliza kutengeneza account yako, endelea kuperuzi site hii ambapo tumekupatia maelekezo mbali mbali kabisa na mepesi ambayo yatakuwezesha kukupa elimu ya awali ya biashara hii ya Forex.

Related Articles

Beginner, Demo, Forex, Meta Trader 4

Post navigation

Previous Post: Jinsi ya ku-verify account yako ya Templerfx (Full Verification)
Next Post: Jinsi ya kutumia Metatrader 4 mt4 ku trade Forex

Leave a ReplyCancel reply

ZINAZOSOMWA ZAIDI

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJanuary 7, 2020Admin
Jinsi ya kuchagua broker mzuri wa ForexJinsi ya kuchagua broker mzuri wa ForexApril 6, 2020Admin
Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simuBroker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simuNovember 29, 2021Admin

MAKALA MPYA

  • Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simu
  • Jinsi ya kuchagua broker mzuri wa Forex
  • Jinsi ya ku trade Volatility Index kwa kutumia Binary
  • Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
  • Jinsi ya kudeposit Templerfx kwa kutumia Safaricom M-Pesa
Copyright © 2022 - All Rights Reserved