Skip to content
  • About Us
  • Disclaimer
  • Telegram Group
Biashara ya Forex

Biashara ya Forex

Forex Trading in Tanzania and Kenya

  • Home
  • Brokers
  • Vitabu vya Forex
  • Help
  • Toggle search form

Category: Forex kwa kiswahili

Jinsi ya kuweka na kufunga order ya Forex kwa kutumia MT4

Posted on October 5, 2019May 26, 2022 By Admin No Comments on Jinsi ya kuweka na kufunga order ya Forex kwa kutumia MT4
Jinsi ya kuweka na kufunga order ya Forex kwa kutumia MT4

Karibu tena tuendelee kupeana elimu kuhusu mambo mbali mbali yahusuyo biashara ya Forex. Leo tutaenda kuangalia jinsi ya kuweka na kufunga order kwa kutumia programu ya Meta Trader 4 au kwa kifupi MT4 kama ilivyozoeleka. Kama ambavyo tulisoma kwenye makala ihusuyo jinsi ya kutumia MT4 inayopatikana  >> HAPA << leo tutajifunza juu ya namna ya…

SOMA ZAIDI “Jinsi ya kuweka na kufunga order ya Forex kwa kutumia MT4” »

Forex kwa kiswahili, Jifunze Forex, Meta Trader 4, TemplerFx

Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua support and resistance levels

Posted on July 16, 2019May 26, 2022 By Admin No Comments on Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua support and resistance levels
Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua support and resistance levels

Support and Resistance Hii ni moja kati ya strategy za awali kabisa katika forex na walimu wengi huwa wanaifundishaga but sisi wanafunzi wengi huwa tukishaanza kujua vitu vingine vya mbele kama trendline na vinginevyo basi huwa tunaipuuza hii strategy, ila kiuhalisia hii ndio strategy mama, nkisema strategy mama namaanisha strategy nyingi za forex zimeanzia hapa….

SOMA ZAIDI “Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua support and resistance levels” »

Education, Forex kwa kiswahili, Jifunze Forex, Support and Resistance

Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua supply and demand zones

Posted on July 16, 2019May 26, 2022 By Admin No Comments on Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua supply and demand zones
Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua supply and demand zones

Supply na demand hizi ni kanda au zone ambazo zinapatikana katika chart ya forex, hizi zone huwa ndio zinazozingatiwa sana na matrader wote wa aina tatu, ambao ni seller buyer na institutions, ambao seller na buyer kwa neno moja tunawaita retailer yani wafanya biashara wadogo wadogo na hao walio kwenye taasisi mbali mbali ambazo zinajihusisha…

SOMA ZAIDI “Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua supply and demand zones” »

Education, Forex, Forex kwa kiswahili, Jifunze Forex, Technical Analysis

ZINAZOSOMWA ZAIDI

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom TanzaniaJanuary 7, 2020Admin
Jifunze Forex: Jinsi ya kutambua supply and demand zonesJifunze Forex: Jinsi ya kutambua supply and demand zonesJuly 16, 2019Admin
Vitabu vya ForexMay 23, 2022Admin

MAKALA MPYA

  • Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa pesa kupitia mitandao ya simu
  • Jinsi ya kuchagua broker mzuri wa Forex
  • Jinsi ya ku trade Volatility Index kwa kutumia Binary
  • Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
  • Jinsi ya kudeposit Templerfx kwa kutumia Safaricom M-Pesa
Copyright © 2022 - All Rights Reserved